Isaya 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 naye atakuwa na shangwe katika kumwogopa Yehova.+ Na hatahukumu kulingana na sura inayoonekana kwa macho yake tu, wala kukaripia kulingana tu na jambo lililosikiwa na masikio yake.+ 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+
3 naye atakuwa na shangwe katika kumwogopa Yehova.+ Na hatahukumu kulingana na sura inayoonekana kwa macho yake tu, wala kukaripia kulingana tu na jambo lililosikiwa na masikio yake.+
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+