3 Kutoka mbali Yehova alinitokea, akisema: “Nimekupenda wewe kwa upendo mpaka wakati usio na kipimo.+ Ndiyo sababu nimekuvuta kwa fadhili zenye upendo.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+