Ezra 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Pia wakaja kujikusanya kwangu, kila mtu akitetemeka+ kwa sababu ya maneno ya Mungu wa Israeli juu ya kukosa uaminifu kwa watu waliohamishwa, nami nikiwa nimeketi huku nimepigwa na bumbuazi mpaka wakati wa toleo la nafaka la jioni.+ Zaburi 119:161 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 161 Wakuu wamenitesa bila sababu,+Lakini moyo wangu umekuwa ukiyahofu maneno yako.+ Matendo 16:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa hiyo akaomba taa akaruka ndani na, akitetemeka, akaanguka chini+ mbele ya Paulo na Sila.
4 Pia wakaja kujikusanya kwangu, kila mtu akitetemeka+ kwa sababu ya maneno ya Mungu wa Israeli juu ya kukosa uaminifu kwa watu waliohamishwa, nami nikiwa nimeketi huku nimepigwa na bumbuazi mpaka wakati wa toleo la nafaka la jioni.+