41 Nawe utamtoa yule mwana-kondoo dume wa pili kati ya zile jioni mbili. Pamoja na toleo la nafaka+ kama lile la asubuhi na pamoja na toleo la kinywaji kama lake, utamtoa awe harufu ya kutuliza, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
21 nami nilipokuwa ningali nasema katika sala, tazama, yule mwanamume Gabrieli,+ ambaye nilikuwa nimemwona katika maono mwanzoni,+ baada ya kuchoshwa na uchovu, akawa anafika kando yangu wakati wa toleo la zawadi la jioni.+