1 Wafalme 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na ikawa kwamba mara tu mchana ulipokwisha nao wakazidi kutenda kama manabii+ mpaka wakati wa kutolewa kwa toleo la nafaka, hapakuwa na sauti yoyote, wala hapakuwa na yeyote aliyejibu, wala aliyewasikiliza.+ Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+
29 Na ikawa kwamba mara tu mchana ulipokwisha nao wakazidi kutenda kama manabii+ mpaka wakati wa kutolewa kwa toleo la nafaka, hapakuwa na sauti yoyote, wala hapakuwa na yeyote aliyejibu, wala aliyewasikiliza.+
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+