Isaya 44:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anajilisha majivu.+ Moyo wake ambao umedanganywa umempotosha.+ Naye haikomboi nafsi yake, wala hasemi: “Je, hamna uwongo katika mkono wangu wa kuume?”+ Wagalatia 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata hivyo, wakati hamkumjua Mungu,+ ndipo mlipoitumikia ile ambayo kwa asili si miungu.+
20 Anajilisha majivu.+ Moyo wake ambao umedanganywa umempotosha.+ Naye haikomboi nafsi yake, wala hasemi: “Je, hamna uwongo katika mkono wangu wa kuume?”+