16 Nikaanza kusikia sauti ya mtu wa udongo katikati ya mfereji wa Ulai,+ naye akaita na kusema: “Gabrieli,+ mweleweshe yule pale jambo hilo lililoonwa.”+
19 Malaika akamjibu akamwambia: “Mimi ni Gabrieli,+ anayesimama karibu mbele za Mungu, nami nilitumwa kusema+ na wewe na kukutangazia habari njema ya mambo hayo.