16 Nikaanza kusikia sauti ya mtu wa udongo katikati ya mfereji wa Ulai,+ naye akaita na kusema: “Gabrieli,+ mweleweshe yule pale jambo hilo lililoonwa.”+
21 nami nilipokuwa ningali nasema katika sala, tazama, yule mwanamume Gabrieli,+ ambaye nilikuwa nimemwona katika maono mwanzoni,+ baada ya kuchoshwa na uchovu, akawa anafika kando yangu wakati wa toleo la zawadi la jioni.+