Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+

      Na yeye huwaokoa.+

  • Zaburi 91:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana atawaamuru malaika zake kukuhusu wewe,+

      Ili kukulinda katika njia zako zote.+

  • Mathayo 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+

  • Luka 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na kwa ghafula malaika+ wa Yehova akasimama kando yao, na utukufu+ wa Yehova ukamulika pande zote kuwazunguka, nao wakaogopa sana.

  • Luka 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na kwa ghafula umati wa jeshi la mbingu+ ukawa pamoja na yule malaika, ukimsifu Mungu+ na kusema:

  • Matendo 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini wakati wa usiku malaika+ wa Yehova akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kusema:

  • Matendo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini, tazama! malaika wa Yehova akasimama+ kando, na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akampiga Petro ubavuni, akamwamsha,+ akisema: “Amka upesi!” Na minyororo yake ikaanguka+ kutoka kwenye mikono yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki