12 Naye akaanza kuota ndoto,+ na, tazama! kulikuwa na ngazi iliyosimamishwa juu ya dunia na kilele chake kilikuwa kimefika mbinguni; na, tazama! malaika za Mungu walikuwa wakipanda na kushuka juu yake.+
10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.
11 Nami nikaona, nami nikasikia sauti ya malaika wengi kuzunguka kile kiti cha ufalme na wale viumbe hai na wale wazee, na hesabu yao ilikuwa makumi ya maelfu ya makumi ya maelfu+ na maelfu ya maelfu,+