Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeyote aliyeogopa neno la Yehova kati ya watumishi wa Farao aliwakimbiza watumishi wake na mifugo wake ndani ya nyumba,+

  • 2 Wafalme 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kwa sababu moyo+ wako ulikuwa mwororo hivi kwamba ukajinyenyekeza+ kwa sababu ya Yehova uliposikia yale ambayo nimesema juu ya mahali hapa na wakaaji wake ili pawe kitu cha kushangaza na laana,+ nawe ukayararua+ mavazi yako, ukaanza kulia mbele zangu, mimi, naam, mimi nimesikia,” asema Yehova.+

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki