Isaya 66:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+ “Basi, nitamtazama huyu,Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 66:2 bt 49; ip-2 391-392 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 66:2 Kutoa Ushahidi, uku. 49 Unabii wa Isaya II, kur. 391-392
2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+ “Basi, nitamtazama huyu,Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+