Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu+ wa umbo lake, kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona,+ kwa maana mwanadamu huona kile kinachoonekana kwa macho,+ lakini Yehova huona jinsi moyo+ ulivyo.”

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+

  • Mathayo 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ni yupi kati ya hao wawili aliyefanya mapenzi ya baba yake?”+ Wakasema: “Huyo wa pili.” Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia kwamba wakusanya-kodi na makahaba wanawatangulia ninyi kuingia katika ufalme wa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki