7 Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu+ wa umbo lake, kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona,+ kwa maana mwanadamu huona kile kinachoonekana kwa macho,+ lakini Yehova huona jinsi moyo+ ulivyo.”
2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+
31 Ni yupi kati ya hao wawili aliyefanya mapenzi ya baba yake?”+ Wakasema: “Huyo wa pili.” Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia kwamba wakusanya-kodi na makahaba wanawatangulia ninyi kuingia katika ufalme wa Mungu.