Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Jina+ lako na liwe la kuaminika na liwe kuu+ mpaka wakati usio na kipimo, kusema, ‘Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli,+ ni Mungu wa Israeli,’+ na acha nyumba ya Daudi mtumishi wako idumu mbele zako.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+

  • Zaburi 72:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+

      Amina na Amina.

  • Mathayo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi, ninyi msali hivi:+

      “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+

  • Yohana 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Baba, litukuze jina lako.” Kwa hiyo sauti+ ikaja kutoka mbinguni: “Nimelitukuza na pia nitalitukuza tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki