24 Jina+ lako na liwe la kuaminika na liwe kuu+ mpaka wakati usio na kipimo, kusema, ‘Yehova wa majeshi,+ Mungu wa Israeli,+ ni Mungu wa Israeli,’+ na acha nyumba ya Daudi mtumishi wako idumu mbele zako.+
11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+