Zaburi 86:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+ Isaya 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”
3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”