Zaburi 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote!+ Zaburi 93:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Juu ya sauti ya maji mengi, mashuu makubwa ya bahari,+Yehova ni mwenye fahari+ katika kilele. Luka 9:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Basi, wote wakaanza kustaajabishwa na nguvu+ kuu za Mungu. Sasa walipokuwa wote wakistaajabia mambo yote aliyokuwa akifanya, akawaambia wanafunzi wake: Waebrania 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+
43 Basi, wote wakaanza kustaajabishwa na nguvu+ kuu za Mungu. Sasa walipokuwa wote wakistaajabia mambo yote aliyokuwa akifanya, akawaambia wanafunzi wake:
8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+