Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote!+

  • Zaburi 93:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Juu ya sauti ya maji mengi, mashuu makubwa ya bahari,+

      Yehova ni mwenye fahari+ katika kilele.

  • Luka 9:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Basi, wote wakaanza kustaajabishwa na nguvu+ kuu za Mungu.

      Sasa walipokuwa wote wakistaajabia mambo yote aliyokuwa akifanya, akawaambia wanafunzi wake:

  • Waebrania 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki