21 Lakini huko Mwenye Utukufu,+ Yehova, atakuwa kwetu mahali pa mito,+ pa mifereji mipana. Kundi lolote la merikebu halitapita juu yake, wala hakuna meli yenye utukufu itakayopita juu yake.
3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu+ wake na mwakilisho sawasawa wa utu wake wenyewe,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake;+ na akiisha kuzitakasa dhambi+ zetu aliketi kwenye mkono wa kuume+ wa Ukuu katika mahali pa juu sana.+
8Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+