Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+

      Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+

  • Zaburi 76:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Umefunikwa na nuru, una utukufu kuliko milima ya mawindo.+

  • Isaya 33:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini huko Mwenye Utukufu,+ Yehova, atakuwa kwetu mahali pa mito,+ pa mifereji mipana. Kundi lolote la merikebu halitapita juu yake, wala hakuna meli yenye utukufu itakayopita juu yake.

  • Waebrania 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu+ wake na mwakilisho sawasawa wa utu wake wenyewe,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake;+ na akiisha kuzitakasa dhambi+ zetu aliketi kwenye mkono wa kuume+ wa Ukuu katika mahali pa juu sana.+

  • Waebrania 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki