18 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa pamoja na wanadamu duniani?+ Tazama! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse basi, nyumba hii ambayo nimeijenga!+
66Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+