Zaburi 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+ Zaburi 77:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Mungu, njia yako iko katika mahali patakatifu.+Ni nani aliye Mungu mkuu kama Mungu?+ Zaburi 86:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+ Danieli 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+ “Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+
4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+ “Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+