Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+

      Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+

  • Zaburi 77:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Mungu, njia yako iko katika mahali patakatifu.+

      Ni nani aliye Mungu mkuu kama Mungu?+

  • Zaburi 86:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+

      Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+

  • Danieli 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nikaanza kusali kwa Yehova Mungu wangu, na kuungama na kusema:+

      “Ah, Yehova Mungu wa kweli, aliye Mkuu+ na Mwenye kuogopesha, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo+ kwa wale wanaompenda na kwa wale wanaoshika amri zake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki