Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 89:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Mungu wa majeshi,+Ni nani aliye na nguvu kama wewe, Ee Yah?+Na uaminifu wako unakuzunguka kotekote.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
8 Ee Yehova Mungu wa majeshi,+Ni nani aliye na nguvu kama wewe, Ee Yah?+Na uaminifu wako unakuzunguka kotekote.+