26 “Inueni macho yenu juu, mwone. Ni nani ameviumba vitu hivi?+ Ni Yeye anayelileta jeshi lake kulingana na hesabu, ambaye zote anaziita kwa jina.+ Kutokana na wingi wa nguvu zenye msukumo,+ yeye pia akiwa hodari katika nguvu, hakuna hata moja kati ya hizo inayokosekana.
17 “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Tazama, wewe mwenyewe umeziumba mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu+ na kwa mkono wako ulionyooshwa.+ Jambo hilo lote si la ajabu mno kwako,+