13 “Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako wewe, mberoshi, mtidhari na mvinje wakati uleule,+ ili kuparembesha patakatifu pangu;+ nami nitapatukuza mahali pangu pa miguu.+
3 kuwapa wale wanaoomboleza kwa ajili ya Sayuni, kuwapa vazi la kichwani badala ya majivu,+ mafuta ya furaha+ badala ya maombolezo, nguo ya kujitanda ya sifa badala ya roho iliyovunjika;+ nao wataitwa miti mikubwa ya uadilifu,+ bustani ya Yehova,+ ili yeye arembeshwe.+