2 Itachanua maua+ bila shaka, nayo itashangilia kwa shangwe na kwa kilio cha furaha.+ Itapewa utukufu wa Lebanoni,+ fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+ Kutakuwa na wale watakaouona utukufu wa Yehova,+ fahari ya Mungu wetu.+
19 Katika nyika nitaweka mwerezi, mshita na mhadasi na mfuta.+ Nitaweka mberoshi katika nchi tambarare ya chini ya jangwani, mtidhari na mvinje wakati uleule;+
13 Badala ya kichaka cha miiba mberoshi utatokea.+ Badala ya upupu wenye kuwasha mhadasi utatokea.+ Na litakuwa jambo lenye sifa kwa Yehova,+ ishara mpaka wakati usio na kipimo+ ambayo haitakatiliwa mbali.”