Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Itachanua maua+ bila shaka, nayo itashangilia kwa shangwe na kwa kilio cha furaha.+ Itapewa utukufu wa Lebanoni,+ fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+ Kutakuwa na wale watakaouona utukufu wa Yehova,+ fahari ya Mungu wetu.+

  • Isaya 41:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Katika nyika nitaweka mwerezi, mshita na mhadasi na mfuta.+ Nitaweka mberoshi katika nchi tambarare ya chini ya jangwani, mtidhari na mvinje wakati uleule;+

  • Isaya 55:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Badala ya kichaka cha miiba mberoshi utatokea.+ Badala ya upupu wenye kuwasha mhadasi utatokea.+ Na litakuwa jambo lenye sifa kwa Yehova,+ ishara mpaka wakati usio na kipimo+ ambayo haitakatiliwa mbali.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki