9 Na hakika yeye atakuwa kwangu jina la furaha,+ sifa na uzuri kuelekea mataifa yote ya dunia ambayo yatasikia ule wema wote ambao ninawapa.+ Na hakika wao watakuwa na hofu+ na kufadhaika+ kwa sababu ya ule wema wote na kwa sababu ya ile amani yote ambayo ninampa.’”+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+