Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 43:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 watu ambao nimejifanyia, ili wasimulie sifa zangu.+

  • Yeremia 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na hakika yeye atakuwa kwangu jina la furaha,+ sifa na uzuri kuelekea mataifa yote ya dunia ambayo yatasikia ule wema wote ambao ninawapa.+ Na hakika wao watakuwa na hofu+ na kufadhaika+ kwa sababu ya ule wema wote na kwa sababu ya ile amani yote ambayo ninampa.’”+

  • 1 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki