13 Badala ya kichaka cha miiba mberoshi utatokea.+ Badala ya upupu wenye kuwasha mhadasi utatokea.+ Na litakuwa jambo lenye sifa kwa Yehova,+ ishara mpaka wakati usio na kipimo+ ambayo haitakatiliwa mbali.”
21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+