19 Katika nyika nitaweka mwerezi, mshita na mhadasi na mfuta.+ Nitaweka mberoshi katika nchi tambarare ya chini ya jangwani, mtidhari na mvinje wakati uleule;+
13 “Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako wewe, mberoshi, mtidhari na mvinje wakati uleule,+ ili kuparembesha patakatifu pangu;+ nami nitapatukuza mahali pangu pa miguu.+