Luka 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nawe utakuwa mwenye furaha, kwa sababu hao hawana kitu cha kukulipa. Kwa maana utalipwa katika ufufuo+ wa walio waadilifu.” Waebrania 11:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.
14 nawe utakuwa mwenye furaha, kwa sababu hao hawana kitu cha kukulipa. Kwa maana utalipwa katika ufufuo+ wa walio waadilifu.”
35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.