Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Kumbukumbu la Torati 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mke wa baba yake, kwa sababu ameufunua upindo wa nguo ya baba yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • 2 Samweli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’

  • Zaburi 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Nao wale wanaoendelea kuitafuta nafsi yangu ili waiharibu,+

      Wataingia katika sehemu za chini kabisa za dunia.+

  • Methali 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+

  • Methali 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+

  • Methali 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki