Yoshua 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Inuka uwatakase watu!+ Waambie, ‘Jitakaseni kesho, kwa sababu Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Kuna kitu kinachopaswa kuharibiwa miongoni mwenu, Ee Israeli. Hamtaweza kusimama dhidi ya maadui wenu msipoondoa kitu kinachopaswa kuharibiwa.
13 Inuka uwatakase watu!+ Waambie, ‘Jitakaseni kesho, kwa sababu Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Kuna kitu kinachopaswa kuharibiwa miongoni mwenu, Ee Israeli. Hamtaweza kusimama dhidi ya maadui wenu msipoondoa kitu kinachopaswa kuharibiwa.