Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 55:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+

      Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+

      Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+

      Lakini ni panga zilizochomolewa.+

  • Methali 26:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+

  • Mika 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki