Zaburi 55:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+ Methali 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+ Mika 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+
21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+
2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+