2 Samweli 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sivyo ilivyo. Lakini mtu fulani anayeitwa Sheba+ mwana wa Bikri kutoka eneo lenye milima la Efraimu+ amemwasi* Mfalme Daudi. Mkimtoa nje mtu huyo, nitaondoka jijini.” Ndipo mwanamke huyo akamwambia Yoabu: “Haya! Utatupiwa kichwa chake ukutani!”
21 Sivyo ilivyo. Lakini mtu fulani anayeitwa Sheba+ mwana wa Bikri kutoka eneo lenye milima la Efraimu+ amemwasi* Mfalme Daudi. Mkimtoa nje mtu huyo, nitaondoka jijini.” Ndipo mwanamke huyo akamwambia Yoabu: “Haya! Utatupiwa kichwa chake ukutani!”