Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 17:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wazao wa Yosefu wakamuuliza Yoshua: “Kwa nini umetupatia eneo moja tu kwa kura+ na sehemu moja kuwa urithi wetu? Tuko wengi sana kwa sababu Yehova ametubariki mpaka sasa.”+ 15 Yoshua akawajibu: “Ikiwa ninyi ni wengi sana na eneo lenye milima la Efraimu+ haliwatoshi, pandeni msituni katika nchi ya Waperizi+ na Warefaimu,+ mkaufyeke msitu ili mpate makao huko.”

  • Waamuzi 2:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Yehova, akafa akiwa na umri wa miaka 110.+ 9 Basi wakamzika kwenye eneo lake la urithi kule Timnath-heresi+ katika eneo lenye milima la Efraimu, upande wa kaskazini wa Mlima Gaashi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki