19 Lakini baba yake akazidi kukataa na kusema: “Najua, mwanangu, najua. Yeye pia atakuwa taifa, yeye pia atakuwa mkuu. Hata hivyo, ndugu yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye,+ na uzao wake utalingana* kabisa na mataifa.”+
37 Hizo ndizo zilizokuwa koo za wana wa Efraimu, na watu walioandikishwa kutoka katika koo hizo walikuwa 32,500.+ Hao ndio waliokuwa wana wa Yosefu kulingana na koo zao.