32 Wazao wa Yosefu kupitia Efraimu+ waliorodheshwa kulingana na majina yao, familia zao, na ukoo wao. Kila mwanamume mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi ambaye angeweza kutumikia katika jeshi alihesabiwa, 33 wale walioandikishwa kutoka katika kabila la Efraimu walikuwa 40,500.