49 Basi wakamaliza kugawanya nchi ya urithi kulingana na maeneo yake. Kisha Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi kati yao. 50 Kwa agizo la Yehova walimpa jiji ambalo aliomba, yaani, Timnath-sera,+ katika eneo lenye milima la Efraimu, akalijenga upya na kukaa ndani yake.