-
2 Samweli 20:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Jambo hili haliko hivyo, lakini mtu fulani kutoka eneo lenye milima la Efraimu,+ ambaye jina lake ni Sheba+ mwana wa Bikri, amenyoosha mkono wake juu ya Mfalme Daudi.+ Ninyi mtoeni yeye peke yake,+ nami nitaondoka juu ya jiji hili.”+ Ndipo yule mwanamke akamwambia Yoabu: “Tazama! Utatupiwa kichwa chake+ kupitia ukutani!”
-