2 Samweli 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Daudi akamwambia Abishai:+ “Sasa Sheba+ mwana wa Bikri atakuwa mbaya kwetu kuliko Absalomu.+ Wewe wachukue watumishi+ wa bwana wako, umfuatilie, asije akajipatia majiji yenye ngome na kukimbia kutoka machoni petu.”
6 Ndipo Daudi akamwambia Abishai:+ “Sasa Sheba+ mwana wa Bikri atakuwa mbaya kwetu kuliko Absalomu.+ Wewe wachukue watumishi+ wa bwana wako, umfuatilie, asije akajipatia majiji yenye ngome na kukimbia kutoka machoni petu.”