Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Uria akamwambia Daudi: “Lile Sanduku+ na Israeli na Yuda wanakaa katika vibanda, na Yoabu bwana wangu na watumishi wa bwana wangu+ wanapiga kambi juu ya uso wa pori, nami—niende nyumbani kwangu kula na kunywa na kulala na mke wangu?+ Kama unavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi,+ sitafanya jambo hili!”

  • 1 Wafalme 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na mfalme akawaambia: “Chukueni watumishi+ wa bwana wenu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu-jike wangu,+ mkamshushe mpaka Gihoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki