17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.
2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+