Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Tena akampandisha katika gari la pili la heshima alilokuwa nalo,+ hata wapaaze sauti mbele yake, “Avrekh!” hivyo akamweka juu ya kila kitu katika nchi ya Misri.

  • 1 Wafalme 1:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na Sadoki+ kuhani na Nathani+ nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Wakerethi+ na Wapelethi+ wakashuka, wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu-jike wa Mfalme Daudi,+ kisha wakamleta mpaka Gihoni.+

  • Esta 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na walete mavazi ya kifalme+ ambayo mfalme huvaa na farasi ambaye mfalme hupanda+ ambaye amevikwa taji la kifalme juu ya kichwa chake.

  • Zekaria 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+

  • Luka 19:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wakampeleka kwa Yesu, nao wakayatupa mavazi yao ya nje juu ya huyo mwana-punda na kumweka Yesu juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki