38 Na Sadoki+ kuhani na Nathani+ nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Wakerethi+ na Wapelethi+ wakashuka, wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu-jike wa Mfalme Daudi,+ kisha wakamleta mpaka Gihoni.+
11 Ndipo Hamani akachukua mavazi+ na farasi, akamvika Mordekai+ na kumpandisha juu ya farasi kupitia katika kiwanja cha watu wote+ cha jiji na kupaaza sauti mbele yake:+ “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme amependa kumheshimu.”+