Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na Sadoki+ kuhani na Nathani+ nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Wakerethi+ na Wapelethi+ wakashuka, wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu-jike wa Mfalme Daudi,+ kisha wakamleta mpaka Gihoni.+

  • Esta 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Hamani akachukua mavazi+ na farasi, akamvika Mordekai+ na kumpandisha juu ya farasi kupitia katika kiwanja cha watu wote+ cha jiji na kupaaza sauti mbele yake:+ “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme amependa kumheshimu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki