Esta 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Hamani akachukua mavazi hayo na farasi, akamvisha Mordekai+ na kumtembeza katika uwanja wa jiji akiwa juu ya farasi na kutangaza kwa sauti mbele yake: “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme angependa kumheshimu!”
11 Basi Hamani akachukua mavazi hayo na farasi, akamvisha Mordekai+ na kumtembeza katika uwanja wa jiji akiwa juu ya farasi na kutangaza kwa sauti mbele yake: “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme angependa kumheshimu!”