-
Esta 2:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kulikuwa na mwanamume fulani Myahudi aliyeishi katika ngome ya* Shushani;*+ aliitwa Mordekai+ mwana wa Yairi mwana wa Shimei mwana wa Kishi, Mbenjamini,+ 6 aliyekuwa miongoni mwa watu waliopelekwa uhamishoni kutoka Yerusalemu pamoja na Mfalme Yekonia*+ wa Yuda, ambaye Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alimpeleka uhamishoni.
-