2 Wafalme 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo wakafanya haraka, kila mmoja wao akachukua vazi+ lake na kulitandika chini yake juu ya zile ngazi zilizo wazi, nao wakaanza kupiga baragumu,+ wakisema: “Yehu amekuwa mfalme!”+ Mathayo 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakamleta huyo punda na mwana-punda wake, nao wakaweka juu yao mavazi yao ya nje, naye akaketi juu yake.+ Marko 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakamletea Yesu huyo mwana-punda,+ nao wakaweka mavazi yao ya nje juu yake, naye akaketi juu yake.+ Yohana 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Yesu alipompata mwana-punda,+ akaketi juu yake, kama vile ilivyoandikwa:
13 Kwa hiyo wakafanya haraka, kila mmoja wao akachukua vazi+ lake na kulitandika chini yake juu ya zile ngazi zilizo wazi, nao wakaanza kupiga baragumu,+ wakisema: “Yehu amekuwa mfalme!”+
7 Nao wakamleta huyo punda na mwana-punda wake, nao wakaweka juu yao mavazi yao ya nje, naye akaketi juu yake.+
7 Wakamletea Yesu huyo mwana-punda,+ nao wakaweka mavazi yao ya nje juu yake, naye akaketi juu yake.+