1 Wafalme 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na Sadoki+ kuhani na Nathani+ nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Wakerethi+ na Wapelethi+ wakashuka, wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu-jike wa Mfalme Daudi,+ kisha wakamleta mpaka Gihoni.+ Luka 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wakampeleka kwa Yesu, nao wakayatupa mavazi yao ya nje juu ya huyo mwana-punda na kumweka Yesu juu yake.+ Yohana 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Yesu alipompata mwana-punda,+ akaketi juu yake, kama vile ilivyoandikwa:
38 Na Sadoki+ kuhani na Nathani+ nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Wakerethi+ na Wapelethi+ wakashuka, wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu-jike wa Mfalme Daudi,+ kisha wakamleta mpaka Gihoni.+
35 Nao wakampeleka kwa Yesu, nao wakayatupa mavazi yao ya nje juu ya huyo mwana-punda na kumweka Yesu juu yake.+