1 Wafalme 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na mfalme akawaambia: “Chukueni watumishi+ wa bwana wenu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu-jike wangu,+ mkamshushe mpaka Gihoni.+ Mathayo 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakamleta huyo punda na mwana-punda wake, nao wakaweka juu yao mavazi yao ya nje, naye akaketi juu yake.+ Marko 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakamletea Yesu huyo mwana-punda,+ nao wakaweka mavazi yao ya nje juu yake, naye akaketi juu yake.+ Luka 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wakampeleka kwa Yesu, nao wakayatupa mavazi yao ya nje juu ya huyo mwana-punda na kumweka Yesu juu yake.+
33 Na mfalme akawaambia: “Chukueni watumishi+ wa bwana wenu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu-jike wangu,+ mkamshushe mpaka Gihoni.+
7 Nao wakamleta huyo punda na mwana-punda wake, nao wakaweka juu yao mavazi yao ya nje, naye akaketi juu yake.+
7 Wakamletea Yesu huyo mwana-punda,+ nao wakaweka mavazi yao ya nje juu yake, naye akaketi juu yake.+
35 Nao wakampeleka kwa Yesu, nao wakayatupa mavazi yao ya nje juu ya huyo mwana-punda na kumweka Yesu juu yake.+