Mathayo 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakamleta huyo punda na mwana-punda wake, nao wakaweka juu yao mavazi yao ya nje, naye akaketi juu yake.+ Yohana 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Yesu alipompata mwana-punda,+ akaketi juu yake, kama vile ilivyoandikwa:
7 Nao wakamleta huyo punda na mwana-punda wake, nao wakaweka juu yao mavazi yao ya nje, naye akaketi juu yake.+