8 Hivyo Daudi akasema siku hiyo: “Yeyote atakayewapiga Wayebusi,+ basi, kwa kutumia mfereji wa chini kwa chini wa maji,+ na akutane na vilema pamoja na vipofu, wenye kuchukiza nafsi ya Daudi!” Ndiyo sababu wao husema: “Kipofu na kilema hawataingia katika nyumba.”