8 Kitabu hiki cha sheria kisiondoke katika kinywa chako,+ nawe ukisome kwa sauti ya chini mchana na usiku, upate kuangalia kufanya kulingana na yote ambayo yameandikwa ndani yake;+ kwa maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha utatenda kwa hekima.+