1 Wafalme 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na mfalme akawaambia: “Chukueni watumishi+ wa bwana wenu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu-jike wangu,+ mkamshushe mpaka Gihoni.+ 1 Wafalme 1:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kisha Sadoki kuhani na Nathani nabii wakamtia mafuta kuwa mfalme+ katika Gihoni; halafu wakaja kutoka huko wakishangilia, na jiji limejaa fujo. Hizo ndizo kelele mlizosikia.+
33 Na mfalme akawaambia: “Chukueni watumishi+ wa bwana wenu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu-jike wangu,+ mkamshushe mpaka Gihoni.+
45 Kisha Sadoki kuhani na Nathani nabii wakamtia mafuta kuwa mfalme+ katika Gihoni; halafu wakaja kutoka huko wakishangilia, na jiji limejaa fujo. Hizo ndizo kelele mlizosikia.+